Wednesday, 7 September 2016

Paris terror arrest after gas cylinders found in Car

Leave a Comment
Paris police have arrested a man on the terrorism watch list after his car was found near the Notre Dame Cathedral with several gas cylinders inside.
The car's hazard warning lights were flashing but there was no detonating device inside, police said.
French media reported that seven cylinders were found, one empty, in a Peugeot 607 with no number plates.
Some 130 people died in Paris in November in a series of terror attacks carried out by so-called Islamic State.
An associate of the car's owner, also known to police, was arrested, the AFP news agency reported.
Anti-terror prosecutors have opened a preliminary investigation, AFP said.
Read More

Tuesday, 30 August 2016

Wabongo waja na hii

Leave a Comment
 Wabongo sasa  wametengeneza chat app kama ya facebook inaitwa fripbook.com








http://www.fripbook.com/



Read More

Sunday, 25 October 2015

Entertainment Diamond Platnumz ana Tuzo nyingine tayari toka Italy MTV EMA 2015

Leave a Comment

 



Katikati ya mwezi September 2015 tuliipata good news kwenye kiwanda cha Muziki Tanzania, East Africa na Africa kwa ujumla ambapo list ya wakali wa muziki wanaowania Tuzo za MTV EMA 2015 ilitangazwa, kilichoongeza furaha ilikuwa kushuhudia majina ya mastaa kama AKA toka South Africa, Yemi Alade na Davido toka Nigeria na pia mkali toka Bongo +255, Diamond Platnumz nae alikuwemo pia kwenye list hiyo.
Good news nyingine ni kwamba Diamond Platnumz amefanikiwa kuibuka na ushindi wa Tuzo moja ya  Best Worldwide Act usiku wa October 25 2015 Jijini Milan Italy.
DPLATNUMZ
Read More

ZEC yatangaza Matokeo ya Kura za Uchaguzi Mkuu 2015 Kwa Majimbo Mawili Upande wa Zanzibar Pekee

Leave a Comment
LEO  Majira  ya  saa  nane  usiku,Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Salim Jecha, ametangaza matokeo ya uchaguzi wa urais wa Zanzibar kwa majimbo mawili ya Kiembesamaki na Fuoni, ambapo kwenye majimbo yote mawili mgombea wa CCM, Dk. Ali Mohammed Shein, anaongoza.   Zanzibar  ilikuwa  na  majimbo 54


Baki nasi. Tutakujuza kila kitu kitakachokuwa  kikitokea.....Kwa  upande  wa  Tanzania  Bara,Matokeo  ya  awali  yataanza  kutangazwa  saa  4  asubuhi
Read More

Tuhuma za Kura FEKI Moshi na Pemba

Leave a Comment
Hii  imeripotiwa  kutokea  Moshi


Hii  imeripotiwa  kutokea  Pemba
Read More

Gari La Tume Ya Uchaguzi Lazua Utata Kituoni Baada Ya Kukamatwa Likiwa Na Milioni 6

Leave a Comment

Gari lilokodiwa na tume ya uchaguzi ya Wilaya ya Arumeru Mashariki  limezua utata baada ya kukutwa na kiasi cha fedha zaidi ya Sh 6 milioni.

Akizungumzia sakata hilo, Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi, kata ya Imbaseny , Jefason Mwangura ,amekiri kubeba fedha hizo kwenye gari hilo mali ya Enong’oto  na kudai kuwa  zilikuwa ni za malipo ya wasaidizi wa vituoni kwa ajili ya kujikimu.

Alisema pia  pesa hizo kwa utaratibu ilikuwa ni kulipa wasaidizi  vituoni ili iweze kuwasaidia kujikimu wakiwa vituoni hapo .

Hata hivyo , Mwangura alisema  Mwenyekiti wa Chadema, kata ya Imbaseny  baada ya kukamata fedha hizo alikimbia nazo kusikofahamika.

“Mimi nashangaa hela zimechukuliwa na aliyechukua amekimbia nazo ,” kama ilikuwa si halali wangezishika wasubiri polisi  ,”alisema Jefason

Mgombea ubunge  wa jimbo la Arumeru Mashariki ,(chadema) Joshua Nasari  alizungumzia tukio hilo na kusema ni kosa kisheria kuzunguka na fedha hizo kwani kisheria ilipaswa zilipwe kabla au baada ya uchaguzi.
Read More

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Unaoendelea- 25/10/2015

Leave a Comment

1. Hali ya vitisho vya jeshi la polisi na kamata kamata iliyoanza jana usiku hadi leo asubuhi. Wawaache wananchi watumie haki yao ya kikatiba kumchagua kiongozi wanayemtaka.

2. Suala la watu wenye kadi lakini majina yao hayapo,  ambapo kisheria inatakiwa msimamizi awape fomu namba 19 kisha waijaze na kupiga kura. Tumewataka wananchi kutokuondoka vituoni hadi wapate haki hiyo ya kujaza fomu hizo na kupiga kura.

Vifaa vya kupigia kura kuchelewa kufika vituoni ambapo baadhi ya vituo kama  Kimara Temboni Dar es salaam,  msimamizi amefungua kituo saa mbili kisha akasema karatasi za mgombea urais zimekwisha. Tumewataka wananchi katika maeneo kama hayo kutokuondoka vituoni,  wakae kwa utulivu wahakikishe wanapiga kura.

Tumewataka NEC ambao wanapigiwa simu lakini hawapokei kutoa msaada wa haraka,  wahakikishe suala hilo linatatuliwa haraka.  Uchaguzi huu haukuwa ajali au suala la kushtukiza.

3. Idadi ya wapiga kura kwenye kituo kimoja kuwa kubwa tofauti na matakwa ya kisheria,  kuna vituo tumebaini vinawapiga kura zaidi ya 800. Hairuhusiwi.  Wapiga kura hawapaswi kuzidi 450 kwa kila kituo.

4. Madai ya kuwepo kwa kura feki kukamatwa katika maeneo mbalimbali zikiwa tayari zimepigwa,  mfano tunazo taarifa za kukamatwa huko, Vunjo,  Njombe na maeneo mengine ya nchi.

Hili tulitarajia tume ilizungumzie kwa udharura lakini mpaka sasa tunawatafuta watu wa tume hawapatikani.

Tunawahimiza watu wawe watulivu wasiondoke vituoni mpaka wapige kura ambayo ni haki yao kikatiba. 

Tumaini Makene
Mkuu wa idara ya mawasiliano
CHADEMA
Read More