Sunday, 25 October 2015

Entertainment Diamond Platnumz ana Tuzo nyingine tayari toka Italy MTV EMA 2015

Leave a Comment

 



Katikati ya mwezi September 2015 tuliipata good news kwenye kiwanda cha Muziki Tanzania, East Africa na Africa kwa ujumla ambapo list ya wakali wa muziki wanaowania Tuzo za MTV EMA 2015 ilitangazwa, kilichoongeza furaha ilikuwa kushuhudia majina ya mastaa kama AKA toka South Africa, Yemi Alade na Davido toka Nigeria na pia mkali toka Bongo +255, Diamond Platnumz nae alikuwemo pia kwenye list hiyo.
Good news nyingine ni kwamba Diamond Platnumz amefanikiwa kuibuka na ushindi wa Tuzo moja ya  Best Worldwide Act usiku wa October 25 2015 Jijini Milan Italy.
DPLATNUMZ
If You Enjoyed This, Take 5 Seconds To Share It

0 comments: