Sunday, 16 August 2015

Je Kuna Ukweli Kuwa Wafuasi wa Lowassa na CHADEMA, Hawajui Wanafuata Nini

Leave a Comment
Nimekutana na Hii Mahali eti ...Naomba niwaulize Kama kuna ukweli juu ya hii kauli hapa chini"

"Nimefikiria akili za hawa wafuasi wa huyu mtu aliekatwa nimegundua ni kama nyumbu tu wale wa serengeti ambao hufuata mkumbo tu bila hata kujua wanakwenda wapi na kwa nini wavuke mto sehemu ya hatari wakati sehemu salama ya kuvuka ipo"

If You Enjoyed This, Take 5 Seconds To Share It

0 comments: