
Ilikuwa ni siku ya jana, katika viwanja vya mnazi mmoja katika tukio la Wizara ya Ujenzi na wakandarasi wakimuaga Kikwete kwa kumaliza muda wake wa miaka kumi wa kuongoza nchi. Na hapo Kikwete akaanza kumsifia Magufuli kiCCM kiCCM na kwa woga, aibu na kujihami kabisa akasema kimafumbo kuwa MAFURIKO YA LOWASSA yanayoendelea kuitikisa nchi kwa sasa ni MOTO WA MABUA TU, hautadumu hata kidogo.
0 comments:
Post a Comment